|
Ummy Mwalimu
@
umwalimu
Dar Es Salaam - Tanzania
|
|
Minister for Health, Community Devl., Gender, Elderly & Children, Tanzania 2015 - todate / Member of Parliament, Women Seats from Tanga region 2010 - 2020
|
|
|
1,762
Tweets
|
404
Following
|
45,595
Followers
|
| Tweets |
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Nov 4 |
|
Hongera Mhe VP @SuluhuSamia kwa kutuongoza vyema ktk jitihada za kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto 🇹🇿 #SomeshaMkunga #UzaziSalama twitter.com/suluhusamia/st…
|
||
|
|
||
| Ummy Mwalimu retweeted | ||
|
Faustine Ndugulile
@DocFaustine
|
Nov 3 |
|
NHIF haina mkataba wa utoaji huduma na Hospital ya Aga Khan Arusha kwa sasa. Majadiliano yako hatua za mwisho @godbless_lema cc @umwalimu twitter.com/godbless_lema/…
|
||
|
|
||
| Ummy Mwalimu retweeted | ||
|
Swahili Times
@swahilitimes
|
Nov 2 |
|
Waziri @umwalimu asema hadi sasa hakuna mgonjwa yeyote aliyeripotiwa kuwa na ugonjwa wa marburg uliojitokeza katika nchi jirani ya Uganda. pic.twitter.com/hnzsepRjx5
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Nov 1 |
|
Karibu sana #jacquelineMahon! I look foward to working closely with you in enhancing access to reproductive health services in Tanzania. 🤝🤝 twitter.com/unfpatanzania/…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Nov 1 |
|
Uzinduzi wa Maabara Hamishika 10. Sehemu ya jitihada zetu za kuhakikisha dawa zinazotumika nchini ni zenye ubora, salama na ufanisi #TFDA👍 pic.twitter.com/ksW1SzjiNr
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 31 |
|
Hii ni heshma na sifa kubwa kwa TZ. Sasa tunaongeza soko kwa wazalishaji wa ndani w dawa, pia bei ya dawa itapungua @MagufuliJP 👍#Nyayozetu twitter.com/swahilitimes/s…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 29 |
|
Saratani inazidi kutafuna watanzania. Tunachukua hatua ii huduma za ugunduzi wa mapema zipatikane kwa wananchi wengi mtembezi.co.tz/2017/10/28/agi…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 28 |
|
Happy birthday Rais wetu @MagufuliJP Mungu akupe maisha marefu ili wa-TZ waendelee kunufaika na uongozi/uzalendo wako pic.twitter.com/Kw2YhVK220
|
||
|
|
||
| Ummy Mwalimu retweeted | ||
|
Paul Sherlock
@paul_sherlock
|
Oct 25 |
|
Great to meet medical professionals w Mhe @SuluhuSamia & @umwalimu this morning. I focused my remarks on maternal health. #working4Irl pic.twitter.com/ikBUQbm6gC
|
||
|
|
||
| Ummy Mwalimu retweeted | ||
|
Norman Jonas
@NormanBJonas
|
Oct 23 |
|
Kusambaza Tiba-Mgando (Cryotherapy) kwenye maeneo mengine ni hatua kubwa sana
-Miaka kadhaa nyuma cryotherapy ilikuwa kama nadharia 👏🏾👏🏾👏🏾
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
- Tumeanza chanjo ya HPV Kilimanjaro na imepokelewa vzr. Tumepeleka maombi #GAVI ili kugharamia chanjo nchi nzima. Tunasubiria
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
#NyayoZetu! Na Tutaendelea kutenda. twitter.com/dewjiblog/stat…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
Mwaka huu tumeongeza Vituo 100 kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi & Matibabu ya Awali ya Saratani ya Mlango wa Kizazi. #Tunatekeleza! twitter.com/kwanza_tv/stat…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
3. Hatua hii itawezesha upatikanaji wa huduma hizi hasa Vijijini. Shime Wanawake Wenzangu Tupime! Saratani inatibika ikigunduliwa mapema! pic.twitter.com/bVCGaKGMLu
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
2. Vituo vipya 100 vya umma kutoka vituo 343 sasa vitatoa huduma za uchunguzi & matibabu ya awali ya saratani ya Mlango wa Kizazi #NyayoZetu pic.twitter.com/xEFQphGygt
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 23 |
|
1. Tatizo la Saratani linazidi kukua. Saratani ya mlango wa kizazi inaongoza (34%), ikifuatiwa na Saratani ya Ngozi (13%) na ya Matiti (12%) pic.twitter.com/alF2MtlRar
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 22 |
|
Jitihada za Serikali za kuongeza Fedha za ndani ktk Mwitikio wa VVU/UKIMWI - Mfuko wa Ukimwi watoa milioni 860/-✅👍 habarileo.co.tz/index.php/haba…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 22 |
|
Usahihi: Kati ya watanzania 1.4m wanaoishi na VVU, wanaotumia ARV ni 67%. Lengo letu ni kufikia 90% ifikap mwaka 2020 pic.twitter.com/0xDUgPqCb5
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 20 |
|
Karibu @ciarancannon .Thanks to #Ireland for the continued support & coopern in working with GoT in addressing health care challenges in TZ🤝 twitter.com/paul_sherlock/…
|
||
|
|
||
|
Ummy Mwalimu
@umwalimu
|
Oct 19 |
|
Noted. We have started working on it. Tutatoa mrejesho. twitter.com/kabsjourno/sta…
|
||
|
|
||